501 B
501 B
Balozi, mwakilishi
Ufafanuzi
Balozi ni mtu aliyechaguliwa rasmi kuwakilisha nchi yake katika mataifa ya kigeni. Mara nyingine hutafsiriwa kama mwakilishi.
- Balozi au mwakilishi huwapa watu ujumbe aliopewa na mtu au serikali iliyomtuma.
- "Mwakilishi" ni yule aliyepewa mamlaka ya kufanya au kuzungumza kwa niaba ya yule anayemwakilisha.
- Mtume Paulo anawafundisha Wakristo kuwa ni mabalozi wa Kristo au wawakilishi kwa kuwa wanamwakilisha Kristo duniani na kuwafundisha wengine ujumbe huu.