531 B
531 B
Madhabahu ya kufukizia.
Ufafanuzi
Madhabahu ya kufukizia ilikuwa sehemu ya samani ambayo kuhani aliitumia kuchoma uvumba kama sadaka kwa Mungu. Ilikuwa inaitwa madhabahu ya dhahabu.
- Madhabahu ya kufukizia ilitengenezwa kwa mbao, pembeni na juu yake ilifunikwa kwa dhahabu. Ilikuwa kama nusu mita kwa urefuna nusu mita upana.
- Kila siku asubuhi na jioni kuhani alifukiza uvumba.
- Hii inaweza kutafsiriwa kama "madhabahu ya kuchoma uvumba" au "madhabahu ya dhahabu" au "madhabahu ya kufukizia" au "meza ya kufukizia."