11 lines
493 B
Markdown
11 lines
493 B
Markdown
# Onyo
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Onyo ni kitu ambacho kinawatahadharisha watu juu ya jambo fulani ambalo linaweza kuwadhuru. "kuonywa" ni kuambiwa juu ya jambo fulani la hatari.
|
|
|
|
* Mfalme Yehoshafati alionywa aliposikia Wamoabu wanapanga kuvamia ufalme wa Yuda.
|
|
* Yesu aliwaambia wanafunzi wake wasiwe na wasiwasi watakaposikia juu ya majanga yatakayotokea siku za mwisho.
|
|
* "kutoa onyo" inamaanisha kutoa tahadhari. Zamani mtu aliweza kupaza sauti za kutoa onyo kwa kupiga kelele ya kitu kama kengele.
|
|
|