355 B
355 B
Umri
Ufafanuzi
"Umri" ni idadi ya miaka aishiyo mwanadamu. pia hutumika kuonesha nyakati kwa ujumla.
- Maneno mengine yanayotumika kuelezea wakati ni kipindi au msimu.
- Yesu anarejea "nyakati hizi" kama wakati wa sasa ambapo dhambi, uovu na kutokutii kumeijaza dunia.
- Kutakuwa na nyakati zijazo ambapo haki itatawala mbinguni na duniani pote.