376 B
376 B
Mateso
Ufafanuzi
Mateso ni kitendo cha kumsababishia mtu mateso. Mateso ni ugonjwa, huzuni ya kihisia au majanga mengine yatokanayo na mateso.
- Mungu aliwapa mateso watu wake kupitia magonjwa na tabu zingine ili kuwasababisha watubu dhambi zao na wamrudie yeye.
- Mungu alisababisha mateso au mapigo kwa wana wa Israeli kwa sababu mfalme wao alikataa kumtii Mungu.