361 B
361 B
Mawaidha
Ufafanuzi
Neno "mawaidha" linamaana ya kuonya au kumshauri mtu.
- Mara nyingi "mawaidha" huwa na maana ya kumshauri mtu asifanye jambo fulani.
- Katika mwili wa Kristo, waamini wanafundishwa kupeana mawaidha wao kwa wao ili kuepuka dhambi na kuishi maisha matakatifu.
- Neno mawaidha linaweza kutafsiriwa kama "kumhimiza mtu asitende dhambi."