377 B
377 B
Tambua
Ufafanuzi
Neno "tambua" lina maana ya kutambua kwa usahihi kitu fulani au mtu.
- Kumtambua Mungu pia inajumuisha kutenda kwa namna ambayo itaonesha kuwa anayoyasema ni kweli.
- Watu wanaomtambua Mungu huonesha kwa kumtii Mungu ambayo huleta utukufu kwa jina lake.
- Kutambua kitu ina maana ya kuamini kuwa ni kweli, kwa maneno na matendo yanayothibitisha hayo.