382 B
382 B
Shimo lisilo na mwisho
Ufafanuzi
"Shimo lisilo na mwisho" ni shimo kubwa, lenye kina kirefu au pengo lisilo na mwisho.
- Kwenye Bilblia "shimo lisilo na mwisho" ni sehemu ya adhabu.
- Kwa mfano, Yesu alipokuwa anawaamuru pepo wachafu wamtoke yule mtu, walimuomba asiwapeleke kwenye shimo lisilo na mwisho.
- Pia "shimo lisilo na mwisho" linaweza kutafsiriwa kama "kuzimu"