432 B
432 B
Zakaria (Agano Jipya)
Ufafanuzi
Katika Agano Jipya, Zakaria alikuwa kuhani wa kiyahudi aliyekuja kumzaa Yohana Mbatizaji.
- Zakari alimpenda Mungu na kumtii.
- Zakari na Elsabethi mkewe waliomba miaka mingi kwa uaminifu ili wapate mtoto lakini hawakupata. Lakini Mungu alijibu maombi yao wakiwa wazee, kwa kuwapa mtoto.
- Zakaria alitabiri kuwa Yohana mwanawe angekuwa nabii ambaye angetangaza na kuandaa njia ya Masiya.