316 B
316 B
Shimei
Ufafanuzi
Shimei ni jina la wanaume kadhaa wa Agano la Kale.
- Shimei mwana wa Gera, alikuwa Mbenjamini aliye mlaani Mfalme Daudi na kutupa mawe kwake alipo kuwa akikimbia Yerusalemu kutoroka asiuliwe na mwanaye Absalomu.
- Pia kulikuwa na makuhani wa Kilawi katika Agano la Kale waliyo itwa Shimei.