sw_tw/bible/names/saltsea.md

641 B

Bahari ya Chumvi, Bahari iliyo Kufa

Ufafanuzi

Bahari ya Chumvi( inayo itwa pia Bahari iliyo Kufa) ilikuwa kati ya kusini mwa Israeli upande wa magharibi na Moabu upande wa mashariki.

  • Mto Yordani una shuka kusini kwenye Bahari ya Chumvi.
  • Kwasababu ni ndogo kuliko bahari nyingine, hii yaweza itwa "Ziwa la Chumvi."
  • Hii bahari ina idadi kubwa ya madini (au "chumvi) inayo maanisha kwamba hakuna kinacho weza kuishi ndani ya maji yake. Hapo ndipo jina "Bahari iliyo Kufa" limetoka.
  • Kati Agano la Kale, hii bahari inaitwa pia "Bahari ya Araba" na "Bahari ya Negevi" kwasababu ya maeneo yake karibu na pande za Araba na Negevi.