408 B
408 B
Rubeni
Ufafanuzi
Rubeni alikuwa mtoto wa kwanza wa Yakobo. Mama yake alikuwa Lea.
- Kaka zake walipopanga kumuua mdogo wao Yusufu, Rubeni aliyaokoa maisha ya Yusufu kwa kuwaambia wamtupe katika shimo.
- Robeni alikuja baadae kumuokoa Yusufu lakini kaka zake wengine walikuwa wameshamuuza kama mtumwa kwa wafanyabiashara waliokuwa wakipita.
- Uzao wa Rubeni ulikuja kuwa moja ya makabila ya Israeli.