11 lines
371 B
Markdown
11 lines
371 B
Markdown
# Rahabu
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Rahabu alikuwa mwanamke aliyeishi Yeriko Waisraeli walipovamia mji. Alikuwa kahaba.
|
|
|
|
* Rahabu aliwaficha Waisraeli wawili waliokuja kupeleleza Yeriko kabla ya Waisraeli kuvamia. Aliwasaidia wapelelezi kurudi kwenye kambi ya Israeli.
|
|
* Rahabu akamwamini Bwana.
|
|
* Yeye na familia yake hawakudhuriwa Yeriko ilipoharibiwa na wakaenda kuishi Israeli.
|
|
|