369 B
369 B
Ufilisti
Ufafanuzi
Ufilisti ni jina la mji mkubwa katika nchi ya Kanaani iliyopo pwani mwa Bahari ya Mediteraniani.
- Mji huu ulikuwa kando ya pwani yenye rutuba toka Yopa kaskazini kwenda Gaza kusini. Ilikuwa Kilometa 64 urefu na upana Kilometa 16.
- Ufilisti ilikaliwa na "Wafilisti" kundi la watu lenye nguvu ambao mara nyingi walikuwa maadui wa Waisraeli.