354 B
354 B
Farao, mfalme wa Misri.
Ufafanuzi
Hapo nyakati za kale wafalme waliotawala nchi ya Misri waliitwa Mafarao.
- Kwa pamoja zaidi ya wafalme 300 walitawala Misri kwa miaka zaidi ya 2,000.
- Wafalme hawa wa Misri walikuwa na nguvu na utajiri.
- Baadhi ya Mafarao hawa wametajwa kwenye Biblia.
- Mara nyingi cheo hiki kimetajwa kama jina na sio cheo.