369 B
369 B
Mperizi
Ufafanuzi
Waperizi walikuwa watu wa kundi fulani katika nchi ya Kanaani. Ni machache yamezungumzwa juu ya kundi hili.
- Waperizi wanatajwa sana katika agano la kale kitabu cha Waamuzi ambapo ilirekodiwa kuwa Waperizi walioana na Wisraeli na kuwashawishi kuabudu miungu ya uongo.
- Ukoo wa Perezi ulioitwa "waperezi" lilikuwa kundi tofauti na Waperizi.