sw_tw/bible/names/nazareth.md

622 B

Nazarethi, Nazarini

Ufafanuzi

Nazarethi ni mji katika mji wa Galilaya kusini mwa Israeli. Ilikuwa kama kilomita 100 kaskazini mwa Yerusalemu, iliyo chukuwa kam siku tatu hadi tano kufika kwa miguu.

  • Yusufu na Maria walitoka Nazarethi, na hapo ndipo walipo mlelea Yesu.
  • Ndio maana Yesu alijulikana kama "Mnazarini"
  • Wayahudi wengi wanao ishi Nazarethi hawaku muheshimu Yesu na mafundisho yake, kwasababu alikulia miongoni mwao na wakadhani alikuwa mtu tu wa kawaida.
  • Wakati Yesu alipo kuwa anafundisha sinagogi la Nazarethi, Wayahudi walijaribu kumuua kwasababu alidai kuwa Mesia na akawakemea kwa kumkataa.