Nathani
Ufafanuzi
Nathani alikuwa nabii mwaminifu wa Mungu aliye ishi kipindi cha Daudi akiwa mfalme wa Israeli.
- Mungu alimtuma Nathani kumuona Daudi alipo tenda dhambi dhidi ya Uria.
- Nathani alimkemea Daudi, japo kuwa Daudi alikuwa mfalme.
- Daudi alitubu dhambi yake baada ya Nathani kumfuata.