sw_tw/bible/names/naphtali.md

446 B

Naftali

Ufafanuzi

Naftali alikuwa mwana wa sita wa Yakobo. Uzao wake uliunda kabila la Naftali, ambalo lilikuwa moja ya kabila la Israeli.

  • Wakati mwingine jina Nafatali linatumika kueleza nchi kabila lipo ishi.
  • Nchi ya Naftali ilikuwa upande wa kaskazini mwa Israeli, karibu na kabila la Dani na Asheri. Pia lilikuwa mpaka wa magharibi wa Bahari ya Chinerethi.
  • Hili ni kabila lilotajwa katika Agano la Kale na Jipya katika Biblia.