sw_tw/bible/names/moses.md

607 B

Musa

Ufafanuzi

Musa alikuwa nabii na kiongozi wa watu wa Israeli kwa miaka 40.

  • Musa alipo kuwa mtoto, wazazi wa Musa walimueka kwenye kikapu Mto Nile kumficha na Farao wa Misri. Dada wa Miriamu alimwangalia hapo. Maisha ya Musa yalinusurika binti wa Farao alipo mkuta na kumchukuwa kama mwanae.
  • Mungu alimchagau Musa kuwa toa Waisraeli utumwani Misri na kuwaongoza Nchi ya Ahadi.
  • Baada ya Waisraeli kutoka Misri na walipo kuwa jangwani wakitanga, Mungu alipa Musa mawe mawili ya mbao yenye Amri Kumi.
  • Mwisho wa maisha yake, Musa aliona Nchi ya Ahadi, lakini hakuishi sababu hakumtii Mungu.