369 B
369 B
Mariamu Magdalena
Ufafanuzi
Mariamu Magdalena alikuwa miongoni mwa wanawake waliyo muamini Yesu na kumfuata katika huduma yake. Alijulikana kama kama Yesu aliye mponya kutoka kwa mapepo saba waliyo mtawala.
- Mariamu Magdalena na wanawake wengine walimsaidia Yesu na mitume kwa kutoa kwa.
- Pia anatajwa kama mmoja wa wanawake waliyo muona Yesu alipoo fufuka.