sw_tw/bible/names/lebanon.md

553 B

Lebanoni

Ufafanuzi

Labanoni ni sehemu nzuri yenye milima iliyopo mwambao wa Bahari Kuu, kaskazini mwa Israeli. Katika nyakati za Biblia, eneo hili lilikuwa limejaa misonobari, kama seda na mvinje.

Mfalme Sulemani alituma wafanyakazi Lebanoni kuvuna miti ya seda kwa ajili ya kujengea hekalu la Mungu. Lebanoni ya zamani waliishi watu wa Fonikia ambao walikuwa wajenzi wenye ujuzi wa meli zilizotumika kwa viwanda vya biashara vizuri. Miji ya Tiro na Sidoni ilikuwa Lebanoni. Ilikuwa katika miji hii ambamo rangi ya zambarau ilitumika kwanza.