sw_tw/bible/names/joel.md

444 B

Yoeli

Ufafanuzi

Yoeli ni jina la nabii ambaye inawezekana aliishi wakati wa utawala wa mfalme Yoashi wa Yuda. Kuna watu wengine pia katika Agano la Kale wenye jina Yoeli.

Kitabu cha Yoeli ni moja ya vitabu vifupi vya kinabii katika sehemu ya mwisho ya Agano la Kale. Maelezo pekee tuliyonayo kumhusu nabii Yoeli ni kwamba jina la baba yake ni Pethueli. Katika mahubiri yake ya Pentekoste, mtume Paulo alinukuu kutoka kitabu cha Yoeli.