sw_tw/bible/names/iconium.md

498 B

Ikonio

Ufafanuzi

Ikonio ulikuwa mji sehemu ya kusini kati ya nchi ambayo sasa ni Uturuki.

Katika safari ya kwanza ya kimisionari ya Paulo, yeye na Barnaba walienda Ikonio baada ya Wayahudi kuwalazimisha kuondoka katika mji wa Antiokia. Kisha wayahudi wasioamini na Wayunani ndani ya Ikonio walipanga pia kumponda mawe Paulo na watumishi wenzeka, lakini walitoroka katika mji wa karibu wa Listra. Baada ya watu kutoka Antiokia na Ikonia kuja Listra na kuwachochea watu kumponda mawe Paulo.