sw_tw/bible/names/haran.md

367 B

Harani

Ufafanuzi

Harani alikuwa kaka mdogo wa Ibrahimu na baba yake na Lutu. harani pia lilikuwa ni jina la mji ambao Ibrahimu na familia yake waliishi kwa muda mfupi walipokuwa njiani kutoka Uru kwenda nchi ya Kanaani. Mtu mwingine tofauti aliyeitwa Harani alikuwa ni mtoto wa Kalebu. Mtu wa tatu katika Biblia aliyeitwa Harani alikuwa ni wa uzao wa Lawi.