11 lines
382 B
Markdown
11 lines
382 B
Markdown
# Gethsemane
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Gethsemane ilikuwa bustani ya mizeituni mashariki mwa Yerusalemu mbali ya bonde la Kidroni karibu na Mlima wa Mizeutuni.
|
|
|
|
Bustani ya Gethsemane ilikuwa sehemu ambapo Yesu na wafuasi wake walienda kuwa wenyewe na kupumzika, mbali na mikusanyiko.
|
|
|
|
Ilikuwa Gethsemane ambapo Yesu aliomba kwa huzuni kubwa, kabla ya kukamatwa pale na viongozi wa Kiyahudi.
|
|
|