sw_tw/bible/names/eleazar.md

319 B

Eleazari

Ufafanuzi

Eleazari lilikuwa jina la wanamume kadhaa katika Biblia.

Eleazari alikuwa mwana wa tatu wa kaka yake Musa Haruni. Baada ya Haruni kufa, Eleazari akawa kuhani mkuu Israeli.

Eleazari lilikuwa pia jina la mmoja wa "wanamume hodari" wa Daudi.

Eleazari mwingine alikuwa mmoja wa uzao wa Yesu.