492 B
492 B
Berea (Beroya)
Ufafanuzi
Katika nyakati za Agano Jipya, Berea(Beroya) ulikuwa mji wa Kigriki wenye mafanikio kusini mashariki mwa Masedonia, umbali wa kilometa 80 kusini mwa Thesalonike.
- Paulo walikimbilia katika mji wa Berea baada ya Wakristo wenzao kuwasaidi kutoroka kutoka kwa Wayahudu kadhaa waliowasababishia shida huko Thesalonike.
- Watu waliokuwa wakiishi Berea walipomsikia Paulo akihubiri, waliyachunguza maandiko kuthibitisha ikiwa alichokuwa akiwambia kilikuwa kweli.