452 B
452 B
Benjamini
Ufafanuzi
Benjamini alikuwa mwana wa mwisho wa Yakobo aliyezaliwa na Raheli mkewe. Jina lake linamaanisha mwana wa "mkono wangu wa kulia."
- Yeye na Yusufu, nduguye mkubwa walikuwa wana pekee wa Raheli, aliyekufa baada ya kuzaliwa kwa Benjamini.
- Wana wa Benjamini walikuwa mojawapo ya makabila ya Israeli.
- Mfalme Sauli alikuwa akitokea katika kabila la Benjamini.
- Mtume Paulo pia alikuwa wa kutoka katika kabila la Benjamini.