374 B
374 B
Ashikelo
Ufafanuzi
Katika Biblia, Ashikelo ni mji wa wafilisti ulioko pwani Bahari ya Mediterania. Bado ipo mpaka leo Israeli.
- Ashikelo ulikuwa mji wa muhimu sana wa Wafilisti pamoja na Ashdodi, Ekironi, Gati na Gaza.
- Waisraeli hawakuiteka kabisa Ashikelo japokuwa ufalme wa Yuda ulisambaa nchi nzima.
- Ashikelo iliendelea kukaliwa na Wafilisti kwa miaka mia.