364 B
364 B
Asheri
Ufafanuzi
Asheri alikuwa mtoto wa nane wa Yakobo. Uzao wake unaunda moja ya makabila kumi na mbili ya Israeli ambalo pia linaitwa Asheri.
- Mama yake na Asheri aliitwa Zilpa, mtumwa wa Lea.
- Maana ya jina lake ni "furaha" au "baraka."
- Asheri pia lilikuwa jina la ngome ambayo kabila la Asheri walipewa baada ya Waisraeli kuingia nchi ya ahadi.