412 B
412 B
Asa
Ufafanuzi
Asa alikuwa mfalme aliyetawana ufalme wa Yuda kwa miaka arobaini. toka 913-873 BC.
- Mfalme Asa alikuwa mfalme mzuri aliyeondoa sanamu nyingi za miungu na kusababisha Waisraeli waanze kumuabudu tena Yahweh.
- Yahweh alimpa mfalme Asa mafanikio ya utajiri dhidi ya mataifa mengine.
- Baadae katika utawala wake Asa aliacha kumuamini Yahweh na akaugua ugonjwa ambao ulipelekea kifo chake.