460 B
460 B
Araba
Ufafanuzi
Katika agano la kale "Araba" imetumika kuelezea jangwa kubwa au maeneo tambarare yanayojumuisha bonde jirani na mto Yordani hadi kusini kwenye ncha ya kaskazini mwa bahari ya shamu.
- Waisraeli walisafiri kupitia jangwa toka Misri kwenda Kaanani.
- "Bahari ya Araba" inaweza kutafsiriwa kama "bahari iliyopo kwenye mji wa jangwa la Araba" au "bahari ya chunvi" au "bahari iliyokufa."
Araba pia yaweza kuwa sehemu yoyote yenye jangwa.