349 B
349 B
Amoni, Waamoni wanaume, Waamoni wanawake.
Ufafanuzi
"Waamoni" lilikuwa kundi la watu walioishi Kaanani. Walikuwa uzao wa Benyamini, aliyekuwa mtoto wa Lutu.
- Waamoni wanawake walitafsiriwa moja kwa moja kuelezea kuwa walikuwa wanawake.
- Wakati fulani Waamoni walimlipa nabii Balamu ili awalaani Waisraeli, lakini Mungu hakuliruhusu hilo.