sw_tw/bible/names/ahijah.md

375 B

Abiya

Ufafanuzi

Abiya ni jina la watu mbalimbali katika agano la kale. Wafuatao ni watu hao:

  • Abiya lilikuwa jina la nabii katika kipindi cha Sauli.
  • Abiya alikuwa katibu katika kipindi cha utawala wa Sulemani.
  • Abiya lilikuwa jina la nabii toka Shilo aliyetabiri kuwa ufalme wa Israeli utagawanyika mara mbili.
  • Baba wa mfalme Baasha wa Israeli aliitwa Abiya.