583 B
583 B
Busara, hekima
Ufafanuzi
Busara inamuelezea mtu anayeelewa jambo la haki na mambo ya maadili na akayafanya. Hekima ni uelewa na kutenda yaliyo sahihi na maadili ya haki.
- Kuwa na busara inajumuisha uwezo wa kufanya maamuzi mazuri hasa kuchagua kufanya yanayompendeza Mungu.
- Katika Biblia "busara za dunia" inamaanisha kitu ambacho watu wa dunia wanafikiri ni burasa lakini ni upuuzi.
- Watu huwa na busara wanapomsikiliza Mungu na kunyeyekea kutii mapenzi yake.
- Mtu mwenye busara ataonesha matunda ya roho mtakatifu kwenye maisha yake kama furaha, upendo na uvumilivu.