sw_tw/bible/kt/soul.md

475 B

nafsi

Ufafanuzi

Nafsi ni sehemu ya ndani, isiyo onekana ya mtu. Ya husu sehemu isiyo ya kimwili ya mtu.

  • Maneno "nafsi" na "roho" yanaweza kuwa mitazamo miwili tofauti, au inaweza kuwa maneno mawili yanayo eleza mtazamo mmoja.
  • Mtu anapo kufa, nafsi yake ya acha mwili.
  • Neno "nafsi" wakati mwingine utumika kimafumbo kueleza mtu kamilifu. Kwa mfano, "nafsi inayo fanya dhambi" ina maana, "mtu anaye fanya dhambi" na "nafsi yangu imechoka," ina maana "nimechoka"