382 B
382 B
Fidia
Ufafanuzi
Fidia ni kiasi cha pesa au malipo mengine yanayohitajika kwa ajili ya kumuachia mtu aliyefungwa.
- "Kutoa fidia" ni kufanya malipo au kutoa kitu ili kumkomboa mtu aliyepo kifungoni au utumwani.
- Yesu alikubali kuuawa kama fidia ya kuwaweka huru wenye dhambi toka kwenye utumwa wa dhambi. Hiki kitendo cha Mungu kuwanunua watu wake ki kitendo cha ukombozi.