Rabi, Raboni
Ufafanuzi
Rabi ina maana ya bwana wangu au mwalimu wangu.
- Kilikuwa cheo cha heshima kilichotumiwa kumuelezea mtu aliyekuwa kiongozi wa dini ya Kiyahudi hasi aliyefundisha sheria za Mungu.
- Yohana mbatizaji na Yesu mara nyingine waliitwa Rabi na wanafunzi wao.