364 B
364 B
Kupotea, kuharibika
Ufafanuzi
"Kupotea" inamaanisha kufa au kuharibiwa maranyingi huwa ni baada ya mapigano au majanga. Katika Biblia inamaana zaidi ya kuhukumiwa milele jehanamu.
- Watu waliopotea ni wale wanaoenda jehanamu kwa sababu walikataa kumwamini Yesu kwa ajili ya wokovu wao.
- Yohana 3:16 inatufundisha "kupotea" ni kutokuishi milele mbinguni.