sw_tw/bible/kt/lamb.md

636 B

mwanakondoo, Mwanakondoo wa Mungu

Ufafanuzi

Neno "mwanakondoo" linamaanisha kondoo mchanga. Kondoo ni wanyama wenye miguu minne na wana nywele nene ya sufu, waliotumika kwa sadaka kwa Mungu. Yesu anaitwa "Mwanakondoo wa Mungu" kwa sababu alitolewa kulipia dhambi za watu.

Wanyama hawa huongozwa nje ya mstari kirahisi na wanahitaji ulinzi. Mungu anawafananisha binadamu na kondoo. Mungu anawaagiza watu wake kutoa sadaka kimwili kama kondoo na wanakondoo kamili kwake. Yesu anaitwa "Mwanakondoo wa Mungu" aliyetolewa sadaka kwa ajili ya dhambi za watu. Alikuwa sadaka kamili, bila kasoro kwa sababu alikuwa hata dhambi kabisa.