sw_tw/bible/kt/hebrew.md

492 B

Waebrania

Ufafanuzi

'Waebrania' walikuwa ni watu wa uzao wa Ibrahimu kupitia kwa Isaka na Yakobo. Ibrahimu ni mtu wa kwanza kuitwa 'mwebrania' katika Biblia. Neno 'kiebrania' linarejelea pia lugha ambayo waebrania wanaongea. Agano la kale liliandikwa kwa lugha ya Kiebrania. Katika sehemu mbalimbali za Biblia, Waebrania waliitwa 'Wayahudi,' au 'Waisraeli' Ni vizuri kutunza maneno yote matatu katika muktadha wake, kwa kuwa majina yote matatu yanazungumzia kundi moja la watu.