16 lines
532 B
Markdown
16 lines
532 B
Markdown
# Kuwa na mapepo
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Mtu ambaye ana mapepo ana pepo au roho chafu ambalo humuongoza kile afanyacho au kufikiri.
|
|
|
|
|
|
Mara kwa mara mtu mwenye pepo hujiumiza mwenyewe au watu wengine kwa sababu peopo husababisha afanye hivyo.
|
|
|
|
Yesu aliponya watu waliokuwa na mapepo kwa kuwaamuru mapeopo kuwatoka . Hii mara kwa mara hujulikana kama "kutoa" mapepo.
|
|
|
|
Mapendekezo ya Tafsiri
|
|
|
|
Njia zingine za kutafsiri msemo huu zinaweza kujumuisha, "kutawaliwa na pepo" au "kutawaliwa na roho mchafu" au "kuwa na roho mchafu aishiye ndani".
|
|
|