348 B
348 B
Msalaba
Ufafanuzi
Katika Biblia msalaba ni mbao iliyosimama wima inayochimbiwa kwenye ardhi na yenye mbao nyingine inayopita kwa mlalo na inayoshikizwa karibu na juu.
- Katika wanyati wa utawala wa Rumi serikali ya Rumi ilimhukumu mhalifu kwa kumgongelea msalabani na kumuacha afe hapo.
- Yesu alihukumuwa bila kosa na walimuua msalabani.