11 lines
498 B
Markdown
11 lines
498 B
Markdown
# Wakfu
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Kuweka wakfu ni kutenga kitu fulani au watu ili wamtumikie Mungu. Kitu au vitu vinavyowekwa wakfu ni vitakatifu na vinatengwa kwa ajili ya Mungu.
|
|
|
|
* Maana yaneno hili ni sawa na "kutakasa" lakini maana ya zaidi ni kumtenga mtu kwa ajili ya kumtumikia Mungu.
|
|
* Vitu vilivyowekwa wakfu kwa ajili ya Mungu ni pamoja na wanyama, madhabahu ya kuteketezea dhabihu na maskani.
|
|
* Watu waliowekwa wakfu kwa Mungu ni pamoja na makuhani, wana wa Israeli na watoto wa kwanza wa kiume .
|
|
|