655 B
655 B
Kristo, Masihi
Ufafanuzi
Masihi na Kristo inamaana ya mpakwa mafuta na inamuelezea Yesu mwana wa Mungu.
- Masihi na Kristo vimetumika katika agano jipya kumuelezea mwana wa Mungu ambaye Mungu baba alimpaka mafuta kutawala kama mfalme juu ya watu wake na kuwaokoa toka kwenye dhambi.
- Katika agano la kale manabii waliandika unabii juu ya Masihi miaka mia kabla ya kuja kwake duniani.
- Neno mpakwa mafuta limetumika katika agano la kale kumuelezea Masihi atakayekuja.
- Yesu alitimiza unabii huo na alifanya miujiza mingi iliyothibitisha kuwa yeye ni Masihi, unabii uliobaki utatimia atakaporudi.
- Neno Kristo hutumika kama jina "Kristo Yesu."