472 B
472 B
Madhabahu
Ufafanuzi
Madhabahu ilikuwa sehemu yenye muundo ulioinuka ambao wana wa Israeli walichoma wanyama na mazao kama sadaka kwa Mungu.
- Katika nyakati za Biblia madhabahu rahisi zilikuwa zinatengenezwa kwa kilima chenye udongo au mawe makubwa yaliyopangwa na kupafanya pawe imara.
- Madhabahu nyingine zilitengenezwa kwa mbao pamoja na dhahabu na shaba.
- Watu wengine walioishi karibu na Israeli walitengeneza pia madhabahu na kutoa sadaka kwa miungu yao.