sw_obs-tq/content/48/07.md

204 B

Je ahadi ya Mungu kwa Ibrahimu imetimizwa kupitia Yesu?

Kila mtu, kutoka kundi lolote la watu, kila anayemwamini Yesu ameokolewa kutoka dhambi na anafanyika kuwa uzao wa Ibrahimu kwa jinsi ya kiroho.