sw_obs-tq/content/46/10.md

289 B

Kanisa lililokuwa huko Antiokia lilifanya nini wakati Roho Mtakatifu aliwaambia kuwatenga Barnaba na Sauli?

Walikuwa wakiomba na kufunga.

Nini kusudi la kanisa la Antiokia lilimtumia Sauli na Barnaba?

Waliwapeleka ili kuhubiri habari njema juu ya Yesu katika maeneo mengine mengi.