sw_obs-tq/content/46/04.md

254 B

Kwa nini Anania alikuwa na hofu ya kuzungumza na Sauli?

Alikuwa amesikia kwamba Sauli alikuwa anawatesa waumini.

Mungu alisema ni kusudi la yeye kumchagua Sauli?

Sauli alitangaza jina la Mungu kwa Wayahudi na watu kutoka makundi mengine ya watu.